Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Diwani wa Kata ya Kilakala
Jumla: 1135
Lengo ni kumtambua kila mwananchi wa kata ya kilakala
Soma ZaidiMapema leo hii tarehe 17/02/2026 zoezi la uandikishaji wananchi limeanza rasmi katika kata ya kilakala lengo kuu ikiwa ni kuwasajili wananchi kwa mfumo wa kidigitali ili iwe rahisi kuwafikia na kuwatambua kwenye sekta za maendeleo na fursa
Soma Zaidi